iqna

IQNA

Surah za Qurani
Sura za Qur'ani Tukufu /23
TEHRAN (IQNA) – Surah Al-Mu’minun ni sura ya Makki ya Qur’ani Tukufu inayoeleza sifa za waumini wa kweli.
Habari ID: 3475575    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/03

Sura za Qur'ani Tukufu / 3
TEHRAN (IQNA) - Surah Al Imran ni mojawapo ya Sura ndefu zaidi za Qur'ani ambayo inahusu mada mbalimbali kuanzia kuzaliwa na maisha ya mitume kama vile Yahya na Issa-Amna ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yao- hadi namna mitume walivyokabiliana na njama na uhasama.
Habari ID: 3475393    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/18

Sura za Qur'ani/ 8
TEHRAN (IQNA)- Kuongezeka kwa makundi ya kigaidi duniani na matumizi mabaya ya Uislamu kumepelekea istilahi Jihadi (vita vitakatifu) kupachikwa maana isiyo sahihi na hivyo kunasibishwa na maneno kama vile kuchochea vita, ghasia na mauaji.
Habari ID: 3475385    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/16

Sura za Qur'ani/ 6
TEHRAN (IQNA)- Surah An'am inarejelea kisa cha Nabii Ibrahim AS na utume wa watoto wake na inatanguliza dini ya Kiislamu kuwa ni mwendelezo wa njia na malengo ya mitume waliotangulia.
Habari ID: 3475347    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07